Biblia Takatifu - Swahili Bible (Kiswahili)
5.7.0
Contains ads
Type Variant Architecture Minimum Version Screen DPI
5.7.0
570 APK
universal Android 4.1
160 - 640dpi
Size: 7.36 MB
Certificate: f6448312786d496e9fa835ec8902ab8f756f60b1
SHA1 signature: 0c04d3c653b00a506035c6460684fa2c532b69cc
Architecture: universal
Screen DPI: mdpi (160dpi), hdpi (240dpi), xhdpi (320dpi), xxhdpi (480dpi), xxxhdpi (640dpi)
Device: phone
0 downloads Get it on Google Play
Download Biblia Takatifu - Swahili Bible (Kiswahili) APK freeScreenshot app 1Screenshot app 2Screenshot app 3Screenshot app 4Screenshot app 5Screenshot app 6Screenshot app 7Screenshot app 8Screenshot app 9Screenshot app 10Screenshot app 11Screenshot app 12Screenshot app 13

Download Biblia Takatifu - Swahili Bible (Kiswahili) APK free

English Bible Offline - The New English Bible The Old and New Testaments

Biblia Takatifu ya Kiswahili (Swahili Bible) Agano la Kale na Jipya

Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu".

Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania . Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale".

Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake.

Agano la Kale
Kimsingi vitabu vya Agano la Kale ni vilevile vya Biblia ya Kiebrania, ingawa madhehebu ya Kikristo hutofautiana kidogo katika hilo. Ni kwamba wakati wa kutokea kwa Ukristo palikuwa na tofauti ndani ya Uyahudi kuhusu vitabu vilivyohesabiwa kuwa maandiko matakatifu. Suala hilo liliondolewa kuanzia mwaka 80 BK wataalamu wa Wayahudi wa huko Jabneh (Jamnia) walipochukua msimamo mkali dhidi ya wafuasi wa Yesu.
Kwa wakati huo Wakristo walikuwa wamezoea tayari toleo la Kigiriki la maandiko matakatifu yaliyotafsiriwa katika karne ya 2 KK ambalo linajulikana kwa jina la Septuaginta na kuwa na vitabu kadhaa visivyokuwa vimetunzwa katika lugha asili ya Kiebrania wala ya Kiaramu, au vilivyoandikwa moja kwa moja katika lugha ya Kigiriki.
Hivyo Biblia ya Kikristo ilikuwa na vitabu 7 (viwili vya Wamakabayo, Yoshua bin Sira, Hekima, Tobiti, Yudith na Baruku, pamoja na sehemu za Esta na Danieli) visivyokubaliwa baadaye na Wayahudi.

Vitabu hivyo 7 vikaja kukataliwa na Martin Luther katika karne ya 16, halafu na Waprotestanti wengi, lakini vinazidi kutumiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kwa jina la Deuterokanoni.

Agano Jipya
Kuna vitabu 27 vya Agano Jipya. Vinne vya kwanza ni Injili nne zinazoleta habari za maisha, matendo na maneno ya Yesu.
Vingine ni Matendo ya Mitume, Nyaraka za Mitume, hasa Mtume Paulo, na Ufunuo wa Yohane.
Show more

What´s new

we fixed bugs and improved performance
4.6

Rating this app

Rate now
Currently rated 4.6 stars

More info

Updated in 2021-12-08
Size 7.36 MB
Current version 5.7.0
Requires Android 4.1 and up
Content Rating Everyone
Offered By Igor Apps
Biblia Takatifu - Swahili Bible (Kiswahili)
Igor Apps
Showing permissions for all versions of this app
This app has access to:
Updates to Biblia Takatifu - Swahili Bible (Kiswahili) may automatically add additional capabilities within each group. Learn more

APKs installer

Biblia Takatifu - Swahili Bible (Kiswahili)
Igor Apps
icon-app-rating
Rate the app by selecting the stars